Tuesday, July 9, 2013

suarez report

The Reds' troubled frontman admits he is flattered to be linked with the likes of Chelsea and Arsenal, but his countryman believes a move elsewhere in England is not an option
Luis Suarez must leave English football altogether if he manages to engineer a summer exit from Liverpool, according to countryman Gus Poyet.
Suarez has been vocal in his desire to leave Anfield and move to Real Madrid this summer, citing unfair treatment by the British media as one of his main reasons.




But recent weeks have seen Arsenal and Chelsea linked with bids for his services, and the Uruguayan admits he is flattered by the interest of two of the Premier League's Champions League representatives.
But Poyet, who is currently unemployed following his dismissal from Brighton, believes moving elsewhere in England's top flight should not be an option for Suarez.
"If I was Suarez, I would either stay at Liverpool or leave England for good," Poyet told Uruguayan radio station Sport890.
"Him going to Arsenal won't change a thing. If he wants to move, it's probably because of the way the media treats him as a Liverpool player, but that won't change if he moves to another club in England.
"If it's just for the sake of playing in the Champions League [possible Arsenal move], well, that's up to Luis to decide. But I'd be a lot more drastic: I'd stay put at Liverpool or leave England all together.
"I believe he has to be calm when making this decision. He shouldn't let emotions play a part. It has to be a decision that is well-thought and that will bring him good things for the future."
"Luis' numbers last season were out of this world. Liverpool, with all due respect, were a mediocre team last season, but Luis showed a great level."

MAGAZETI LEO YA UDAKU via GLOBAL PUBLISH

Habari za wema Sepetu
MWIGIZAJI wa Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amewapongeza waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 kwani lilikuwa zuri kuliko matamasha mengine yaliyowahi kutokea Bongo.

Akizungumza na paparazi wetu, Jumapili iliyopita katika Uwanja wa Taifa lilipofanyika tamasha hilo, Dude alimpongeza Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo kwa ubunifu wake kwani tamasha hilo limefanikiwa kuwaweka watu pamoja na kuwafanya wasahau tofauti zao za kidini, kivyama na kikabila.

“Kwa kweli tamasha hili ni zuri sana kwani limetusogeza karibu na tumesahau tofauti zetu na tupo pamoja, tunazungumza na kufurahia, nawapongeza sana Global Publishers na Shigongo kwa ubunifu kwani tamasha liko tofauti na mengine, Mungu ibariki Tanzania,” alisema…

POLISI WAVAMIA NYUMBANI KWA WEMA

Na Mwaija Salum

POLISI wapatao sita Jumamosi iliyopita walivamia nyumbani kwa staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu maeneo ya Kijitonyama kwa lengo la kumkamata kufuatia kesi iliyofunguliwa katika Kituo cha Polisi Kawe jijini Dar.

Awali taarifa zilidai kuwa, tuhuma zinazomkabili staa huyo asiyekaukiwa na matukio ni za kumtukana na kumpiga vibao Godluck Kuyumbu ambaye ni meneja wa hoteli moja maarufu jijini Dar.

Baada ya kesi hiyo yenye jalada KW/RB5988/2013 SHAMBULIO kufunguliwa kituoni hapo Julai 6, mwaka huu mishale ya saa 5 asubuhi, maafande hao wakiwemo wa kike wawili wakiwa wamevaa kiraia walifika mtaa anaoishi staa huyo na kuufunga kabla ya kwenda kugonga katika geti la nyumba yake.

Mara baada ya kugonga geti hilo, alitoka mwanaume aliyefahamika kwa jina la Petman,…

SUMAYE ANOGESHA SEND-OFF YA NATASHA

Pos
Imelda Mtema na Hamida Hassan

WAZIRI Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Fredrick Sumaye, mwishoni wa wiki iliyopita aliinogesha sherehe ya kuagwa ‘Send Off’ ya  mwigizaji wa kitambo na

Mtangazaji wa Radio Times, Suzan Lewis ‘Natasha’.

Waziri mkuu huyo aliambatana na viongozi wengine wa kitaifa akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Hemed Kipozi, katika  Uwanja wa Mnazi Mmoja ilipofanyika sherehe hiyo iliyopewa jina la ‘Natasha Night’.

Sumaye pamoja na viongozi wengine hawakuwa nyuma katika kulisakata rumba pale zilipopigwa nyimbo za zamani ‘zilipendwa’. ‘MC’ aliwataka wageni waalikwa kujumuika pamoja na kupanda jukwaani kwa ajili ya kuserebuka, nao hawakujivunga.

Mbali na Sumaye na Kipozi, mastaa mbalimbali wa filamu wa hapa nchini walijitokeza kumpa kampani…

LOWASSA AZUA GUMZO

Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA zimebaki siku chache kabla ya kuanza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, picha za Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CCM, Edward Lowassa akiwa amevaa mavazi ya Kiislam ya joho na hagali zimezua gumzo kubwa kwenye jamii wengi wakitaka kujua kama Waziri Mkuu Mstaafu huyo amebadili imani au la!

GUMZO LENYEWE

Picha hizo za Lowassa ambazo zimeenea mtandaoni, zimepokea maoni mbalimbali huku wengi wakiwa na maswali yaliyokosa majibu ya moja kwa moja.

Hata hivyo, asili ya picha hizo zilizombadilisha mwonekano Lowassa ni mtandao mmoja wa kijamii ambao umetupia picha na maelezo kwamba, mbunge huyo ambaye kasi yake ya kisiasa nchini haishikiki, alikuwa akipongezwa na Kiongozi wa Sunni al Jamaa Afrika Mashariki, Shariff Hussein al Badawi kwa kumvika joho na…

MAFUTA YA UBUYU WENGI KUFA GHAFLA


Ubuyu.
Na Mwandishi Wetu

SIKU chache baada ya Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kutangaza kwamba mafuta ya ubuyu hayafai kwa matumizi ya binaadamu,  taarifa hiyo imewafanya watu wengi kukumbwa na  hofu ya vifo vya ghafla.

Mafuta ya ubuyu.
Hofu hiyo inatokana na kuamini kwa muda mrefu kwamba mafuta hayo yamekuwa ni tiba asilia na salama kwa magonjwa mbalimbali yaliyoshindikana mahospitalini.

wasanii wetu na madawa ya kulevya

Wanawake wawili raia wa Tanzania wametambuliwa kuwa ndiyo wanaodaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.

Akizungumza na NIPASHE jana, Kamanda wa Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Geofrey Nzoa, alisema haijafahamika wanawake hao wanatoka mikoa gani.

Kamanda Nzoa aliwataja wanawake hao kuwa ni Agnes Jerald ambaye alisema hajapiga hesabu ya umri wao, ila alizaliwa mwaka 1988 kwa maana hiyo ana umri wa miaka 25 na Melisa Edward ambaye alisema amezaliwa mwaka 1989 kwa maana hiyo atakuwa na umri wa miaka 24. Wawili hao bado wanaendelea kuhojiwa na polisi wa Afrika Kusini.


Alisema Jeshi la Polisi Nchini kwa upande wake linaendelea kufanya uchunguzi kubaini kama dawa hizo walitoka nazo wapi na pia linawasaka watu ambao watakuwa ndiyo wamiliki wa dawa hizo.

Jumapili iliyopita NIPASHE ilipata taarifa za kukamatwa kwa dawa za kulevya aina ya Crystal Methamphetamine zenye thamani hiyo nchini Afrika Kusini wakati zikisafirishwa kutoka Tanzania.

Taarifa hizo zilionyesha kuwa wanawake wawili walikamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Oriver Tambo uliopo eneo la Kempton Park siku ya Ijumaa wiki iliyopita wakitokea Tanzania.
Mwanadada huyu ambaye amejipatia umaarufu kutokana na 'kuuza sura' kwenye video za mastaa mbalimbali wa muziki hapa Tanzania, Agnes Gerald (Agnes Masogange) ni mmoja kati ya Wanawake wawili raia wa Tanzania waliotambuliwa kuwa ndiyo wanaodaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.

Endelea kusoma habari hii hapa --> http://j.mp/1aV10N0
Wanawake hao walikamatwa na maofisa wa Mamlaka ya Mapato ya Afrika Kusini wakiwa na masanduku sita ambayo yalipokaguliwa yalikutwa na takribani kilo 150 za dawa hizo ambazo pia zinajulikana kama ‘Tik’ zikiwa na thamani ya bei ya mtaani ya Randi milioni 42 sawa na Sh. bilioni 6.8.

Mwanadada huyu ambaye amejipatia umaarufu kutokana na 'kuuza sura' kwenye video za mastaa mbalimbali wa muziki hapa Tanzania, Agnes Gerald (Agnes Masogange) ni mmoja kati ya Wanawake wawili raia wa Tanzania waliotambuliwa kuwa ndiyo wanaodaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania
 

Monday, July 8, 2013

somalia

Ndege ya Rais wa Somalia 'yashika moto'

Ndege iliyokuwa inambeba rais wa Somalia, imelazimika kutua kwa dharura mjini Mogadishu baada ya moja ya mabawa yake kushika moto.
Msemaji wa Hassan Sheikh Mohamud, alisema kuwa haijulikani kwa nini injini ya ndege ilisita kufanya kazi.
Rais Hassan Sheikh Mohamud, alielezea kuwa rais hakujeruhiwa lakini wazima moto walifanya kila hali kuzima moto huo.
Bwana Mohamud alichaguliwa kama rais wa Somalia mwaka jana katika mpango ulioungwa mkono na Umoja wa Mataifa, katika hatua za kumaliza vita vya miaka mingi.
Mwandishi wa BBC Mohamed Mwalimu, alisema kuwa magurugumu ya ndege yaliharibiwa vibaya baada ya tukio hilo.
Rais alikuwa anaelekea katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, wakati ndege hiyo ilipolazimika kurejea Mogadishu.
Moja ya ripoti zilizotolewa za mwanzo kuhusu tukio hilo, ilitoka kwa akaunti ya Twitter ya kundi la al-Shabab lakini haikusema kama imeshambulia ndege hiyo.
Wanajeshi wa Muungano wa Afrika pamoja na wale wa Somalia, wanaounga mkono bwana Mohamud wamewaondoa wapiganaji wa al-Shabab kutoka mji mkuu Mogadishu, mwaka jana ingawa kundi hilo bado hufanya mashambulizi ya mara kwa mara ya kuvizia.
Serikali mpya ni ya kwanza kwa zaidi ya miaka 10 kutambuliwa na serikali ya Marekani na shirika la fedha duniani (IMF).

kimataifa newss

Wafuasi wa Morsi wauawa nchini Misri


Takriban watu 15 wameuawa mjini Cairo kufuatia ghasia nje ya kambi ya kijeshi ambapo wafuasi wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi wanaamini kiongozi huyo anazuiliwa.
Haya yanajiri huku ghasia zikiendelea baada ya kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa rais Mohammed Morsi.
Waandamanaji hao wanasema vikosi maalum viliwafyatua risasi baada ya swala ya fajir huku wengine wakishambuliwa walipokusanyika nje ya makao ambako bwana Morsi anadhaniwa kuzuiliwa wakitaka watawala kumwachilia huru.
Msemaji wa chama cha Muslim brotherhood amesema kuwa idadi ya waliofariki katika ghasia hizo imefikia 30 huku zaidi ya watu 500 wakijeruhiwa.
Lakini katika taarifa yake, jeshi la nchi hiyo limesema kuwa kundi moja la kigaidi lilikuwa likijaribu kuingia katika kambi hiyo na kumuua mwanajeshi mmoja.
Limeongezea zaidi ya watu 200 walitiwa mbaroni wakimiliki silaha kama vile visu.
Duru kutoka wizara ya afya zilisema kuwa afisaa mmoja wa jeshi aliuawa.
Bwana Morsi, aliyekuwa rais wa kwanza wa kiisilamu kuchaguliwa kidemopkrasia Misri, aling'olewa mamlakani na jeshi, siku ya Jumatano baada ya kufanyika maandamano makubwa.
Mmoja wa waandamanaji Mahmud al-Shilli, aliambia shirika la habari la AFP kuwa wanajeshi waliwarushia gesi ya kutoa machozi lakini kikundi cha wanaume waliokuwa wamevalia mavazi ya kiraia ndio waliwafyatulia risasi.
Katika taarifa iliyosomwa kwenye vyombo vya yhabari vya serikali, jeshi lililaumu kikundi cha watu wlaiokuwa wamejihami ambao limesma ni mgaidi waliokuwa na njama ya kuvamia kambi ya jeshi.

past event

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua Mkutano wa 32 wa Wadau wa Posta kwa Nchi za Afrika, ulioanza jijini Arusha leo, Juliai 8, 2013. Mkutano huo umehudhuriwa na wadau wa Posta kutoka nchi za Afrika.  
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na baadhi ya Viongozi, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (kushoto) Katibu Mkuu wa Shirikisho la Posta kwa Nchi za Afrika (PUPA) Younouss Djibrine (kulia) na Prof. John Nkoma, Mkurugenzi wa Mawasiliano Tanzania (wa pili kulia), wakati akiwasili kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha leo Julai 8, 2013 kwa ajili ya kufungua Mkutano wa 32 wa Wadau wa Posta kwa Nchi za Afrika, ulioanza jijini Arusha leo.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Posta kwa Nchi za Afrika (PUPA) Younouss Djibrine, wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 32 wa Wadau wa Posta kwa Nchi za Afrika, ulioanza jijini Arusha leo, Juliai 8, 2013. Mkutano huo umehudhuriwa na wadau wa Posta kutoka nchi za Afrika
  Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akifungua rasmi mkutano huo leo kwenye Ukumbi wa AICC, jijini Arusha. 
 Kikundi cha Kwaya cha Jijini Arusha kikitoa burudani.
 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa, akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mhe. Makamu wa Rais kufungua mkutano huo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki baada ya kufungua mkutano huo.
  Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

Sunday, July 7, 2013

JK ABARIKI TAMASHA LA MATUMAINI UWANJA WA TAIFA, DAR ES SALAAM, LEO

 Muziki wa Injili ulitawala. Hapa Solomon Mukubwa akitumbuiza
 MC wa Tamasha la Matumaini Godwin Gondwe a.k.a Double G akiwa kazini
 Bango lajieleza
 Uzalendo kwanza
 Nnape Nnauye akiwa na wadau
 JK akitete jambo na Eric Shigongo, mwandaaji wa Tamasha la Matumaini
 Wagunge wapenzi wa Simba wakipiga jalamba
 Profesa Maji Marefu akiongoza wabunge wapenzi wa Simba
 Wabunge wapenzi wa Simba
 Mwigulu Mchemba na skafu yake akiwa na  wabunge wapenzi wa Yanga
 Halima Mdee (kati mbele, bukta nyeusi) akiongoza kikosi cha wabunge wapenzi wa Yanga
 Kikosi kazi cha wabunge wapenzi wa Yanga
 Da' Asha Baraka akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo (BMT) Dionis Malinzi
 Mwandaaji wa Tamasha la Matumaini akisema machache
 Millard Ayo wa Clouds FM akirusha vitu live
 Wapiganaji wakila mzigo
 Wapiganaji kazini
 Wapiganaji wakishuhudia
 Wapiganaji wakirekodi matukio
 JK akifungua rasmi Tamasha la Matumaini
 JK akiwaasa Watanzania wasidanganyike na watu wanaotaka kuwatenganisha
 Hatudanganyiki....
 JK akilisifia Tamasha la Matumaini kuwa ni moja ya majibu ya wanaotaka kutenganisha Watanzania kwa misingi ya kikabila ama kidini
 JK akijiandaa kupiga filimbi kuanzisha mechi ya wabunge wpenzi wa Yanga na Simba
 JK akiwa refarii akihesabu wachezaji kabla ya kuanzisha mechi
 JK akiaga baada ya kuanzisha mpambano huo 
 JK akikaribishwa na mwandaaji Eric Shigongo. Kati ni Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara
 JK akiingia uwanja wa Taifa akiongozana na Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara na Eric Shigongo
 JK akiwa meza kuu
 Meza kuu
 Mwandaaji wa tamasha Eric Shigongo akiongea machache
 JK akimpongeza Eric Shigongo kwa hotuba nzuri
 Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akimkaribisha JK kutoa hotuba yake
 Tamasha la Matumani Oye!
 JK akiongea na kadamnasi kwenye tamasha hilo katika hotuba iliyorushwa moja kwa moja na TBC
 TUSIDANGANYIKE...
 JK akiongea na kadamnasi
 "Tamasha hili ni majibu kwa wanaotutakia mabaya Tanzania...."
 JK akiongea na kadamnasi
 JK akisalimiana na wachezaji wa Bongo Movie
 JK akipeana mikono na kipa wa zamani  Yanga na Taifa Stars Peter Manyika ambaye sasa ni msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie
 Jk akisalimiana na Bongo Movie Stars
 JK akisalimiana na Katibu Mkuu wa FAT mstaafu Mwina Kaduguda
 JK akisalimiana na kipa (wa kweli)  wa Yanga Barthez
 JK akiingia uwanjani
 Kikosi cha wabunge wapenzi wa Simba
 Waamuzi na wabunge wapenzi wa Yanga
 JK akilakiwa na refa Othman Kazi
 JK akiweka saini katika mpira utaochezewa
JK akiweka saini 
 JK akitambulishwa waamuzi
 JK akikagua wabunge wapenzi wa Yanga
 JK akisalimiana na straika mkali wa Yanga kutoka DRC
 Hiki kifriji vipi.....
 JK akisalimiana na wabunge wa Yanga. Huyu ni Esther Bulaya
 JK akisalimiana na mwenyekiti wa kamati ya ufundi wa Yanga
JK akisalimiana na kiongozi-mchezaji wa Yanga
 JK akisalimiana na mshambuliaji hatari wa yanga Halima Mdee
 JK akisalimiana na nahodha wa Simba Amos Makala
 JK akisalimiana na Simba
 JK akisalimiana na mchezaji wa kulipwa wa wabunge toka Nzega, Dkt Hamisi Kigwangalla
 JK akisalimiana na Profesa Maji Marefu
 JK akisalimiana na wachezaji wabunge wa Simba
 JK akisalimiana na mshambukliaji hatari wa Simba William Ngeleja
 JK akiendelea kusalimia wabunge wana Simba
 JK akisalimiana na beki tatu wa wabunge wa Simba Joshua Nassari
 Haya waheshimiwa... mchezo mwema...
 Nyimbo ya Taifa ikipigwa, kila mtu mguu sawa
 Wimbo wa Taifa 
 JK akipungia umati unaomshangilia kwa nguvu
 JK akipena mkono na mashabiki
 JK akiteta jambo na JB huku Dkt Cheni akiwa pembeni
 Mashabiki wakiwa nje ya uwanja
 Nyomi ya nje inapita ya ndani
Mshabiki wa Yanga akielekea uwanjani